1 Samweli 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na ikawa siku moja kwamba Yonathani+ mwana wa Sauli alimwambia mtumishi aliyechukua silaha zake: “Njoo tuvuke, twende kwenye kituo cha mbele cha Wafilisti walio pale ng’ambo.” Lakini hakumwambia baba yake jambo hilo.+
14 Na ikawa siku moja kwamba Yonathani+ mwana wa Sauli alimwambia mtumishi aliyechukua silaha zake: “Njoo tuvuke, twende kwenye kituo cha mbele cha Wafilisti walio pale ng’ambo.” Lakini hakumwambia baba yake jambo hilo.+