Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 14:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Wana wa Sauli walikuwa Yonathani, Ishvi, na Malki-shua.+ Na alikuwa na mabinti wawili; mkubwa aliitwa Merabu,+ na mdogo aliitwa Mikali.+⁠

  • 1 Samweli 18:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Baada tu ya Daudi kumaliza kuzungumza na Sauli, Yonathani+ na Daudi wakashikamana na kuwa marafiki wa karibu sana,* na Yonathani akaanza kumpenda kama alivyojipenda mwenyewe.*+

  • 2 Samweli 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Daudi akamuuliza: “Ni nini kilichotokea? Tafadhali niambie.” Akamwambia: “Watu wamekimbia kutoka vitani na wengi wameanguka na kufa. Hata Sauli na Yonathani mwanawe wamekufa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki