1 Samweli 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Siku moja Yonathani+ mwana wa Sauli alimwambia hivi mtumishi aliyembebea silaha: “Njoo tuvuke, twende kwenye kituo cha ulinzi cha Wafilisti upande wa pili.” Lakini hakumwambia baba yake jambo hilo. 1 Samweli 14:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Wana wa Sauli walikuwa Yonathani, Ishvi, na Malki-shua.+ Na alikuwa na mabinti wawili; mkubwa aliitwa Merabu,+ na mdogo aliitwa Mikali.+
14 Siku moja Yonathani+ mwana wa Sauli alimwambia hivi mtumishi aliyembebea silaha: “Njoo tuvuke, twende kwenye kituo cha ulinzi cha Wafilisti upande wa pili.” Lakini hakumwambia baba yake jambo hilo.
49 Wana wa Sauli walikuwa Yonathani, Ishvi, na Malki-shua.+ Na alikuwa na mabinti wawili; mkubwa aliitwa Merabu,+ na mdogo aliitwa Mikali.+