Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 18:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Daudi alienda na wanaume wake na kuwaua wanaume 200 Wafilisti, na Daudi akamletea mfalme idadi kamili ya magovi yao, ili afanye mapatano ya ndoa na mfalme. Basi Sauli akampa Daudi Mikali binti yake awe mke wake.+

  • 1 Samweli 25:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Lakini Sauli alikuwa amemchukua Mikali binti yake,+ mke wa Daudi na kumpa Palti+ mwana wa Laishi, kutoka Galimu.

  • 2 Samweli 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Daudi akamwambia: “Vema! Nitafanya agano pamoja nawe. Lakini nakuomba ufanye jambo moja tu, usithubutu kuja mbele yangu mpaka umlete kwanza Mikali,+ binti ya Sauli, utakapokuja kuniona.”

  • 2 Samweli 6:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Daudi aliporudi ili kuwabariki watu wa nyumba yake mwenyewe, Mikali, binti ya Sauli+ akatoka nje kumpokea Daudi. Mikali akasema: “Mfalme wa Israeli amejitukuza kwelikweli leo kwa kujifunua leo mbele ya macho ya vijakazi wa watumishi wake, kama tu mtu asiye na akili anavyojifunua waziwazi!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki