20 Basi Daudi akarudi kuwabariki watu wa nyumba yake mwenyewe,+ na Mikali,+ binti ya Sauli, akatoka nje kumpokea Daudi na kusema: “Lo! Jinsi mfalme wa Israeli alivyojitukuza leo+ wakati alipojifunua leo mbele ya macho ya vijakazi wa watumishi wake, kama vile mmoja wa watu wapumbavu anavyojifunua!”+