20 Daudi aliporudi ili kuwabariki watu wa nyumba yake mwenyewe, Mikali, binti ya Sauli+ akatoka nje kumpokea Daudi. Mikali akasema: “Mfalme wa Israeli amejitukuza kwelikweli leo kwa kujifunua leo mbele ya macho ya vijakazi wa watumishi wake, kama tu mtu asiye na akili anavyojifunua waziwazi!”+