29 Na ikawa kwamba wakati sanduku la agano+ la Yehova lilipokuja mpaka Jiji la Daudi, Mikali,+ binti ya Sauli, akaangalia chini kutoka dirishani, akamwona Mfalme Daudi akirukaruka na kusherehekea;+ naye akaanza kumdharau+ moyoni mwake.
33 Hata hivyo, pia, kila mtu mmoja-mmoja kati yenu na ampende hivyo mke wake+ kama vile anavyojipenda mwenyewe; kwa upande mwingine, mke anapaswa kumheshimu+ sana mume wake.