27 Kwa hiyo Daudi akaondoka pamoja na watu wake, akapiga+ watu mia mbili kati ya Wafilisti, na Daudi akaleta magovi yao,+ akampa mfalme hesabu yake kamili, ili kufanya mapatano ya ndoa na mfalme. Naye Sauli akampa Mikali binti yake awe mke wake.+
13 Naye akasema: “Vema! Mimi nitafanya agano pamoja nawe. Ila tu kuna jambo moja ambalo ninaomba kwako, nikisema, ‘Huwezi kuuona uso wangu,+ isipokuwa kwanza umlete Mikali,+ binti ya Sauli, utakapokuja kuuona uso wangu.’”