11 Baadaye Sauli akawatuma wajumbe nyumbani kwa Daudi ili wailinde na kumuua asubuhi,+ lakini Mikali mke wa Daudi akamwambia Daudi: “Usipotoroka usiku wa leo, kesho utakuwa mfu.”
29 Lakini sanduku la agano la Yehova lilipofika kwenye Jiji la Daudi,+ Mikali, binti ya Sauli,+ akaangalia chini kupitia dirishani, akamwona Mfalme Daudi akirukaruka na kusherehekea; akaanza kumdharau moyoni mwake.+