2 Samweli 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini Sanduku la Yehova lilipoingia katika Jiji la Daudi, Mikali,+ binti ya Sauli, akaangalia chini kupitia dirishani, akamwona Mfalme Daudi akirukaruka na kucheza dansi huku na huku mbele za Yehova; naye akaanza kumdharau moyoni mwake.+
16 Lakini Sanduku la Yehova lilipoingia katika Jiji la Daudi, Mikali,+ binti ya Sauli, akaangalia chini kupitia dirishani, akamwona Mfalme Daudi akirukaruka na kucheza dansi huku na huku mbele za Yehova; naye akaanza kumdharau moyoni mwake.+