1 Samweli 14:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Wana wa Sauli walikuwa Yonathani, Ishvi, na Malki-shua.+ Na alikuwa na mabinti wawili; mkubwa aliitwa Merabu,+ na mdogo aliitwa Mikali.+ 1 Samweli 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Sasa Mikali+ binti ya Sauli alimpenda Daudi, Sauli akajulishwa jambo hilo, nalo likampendeza. 1 Samweli 18:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Daudi alienda na wanaume wake na kuwaua wanaume 200 Wafilisti, na Daudi akamletea mfalme idadi kamili ya magovi yao, ili afanye mapatano ya ndoa na mfalme. Basi Sauli akampa Daudi Mikali binti yake awe mke wake.+ 2 Samweli 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kisha Daudi akawatuma wajumbe kwa Ish-boshethi,+ mwana wa Sauli, akisema: “Nipe mke wangu Mikali, niliyemchumbia kwa magovi 100 ya Wafilisti.”+
49 Wana wa Sauli walikuwa Yonathani, Ishvi, na Malki-shua.+ Na alikuwa na mabinti wawili; mkubwa aliitwa Merabu,+ na mdogo aliitwa Mikali.+
27 Daudi alienda na wanaume wake na kuwaua wanaume 200 Wafilisti, na Daudi akamletea mfalme idadi kamili ya magovi yao, ili afanye mapatano ya ndoa na mfalme. Basi Sauli akampa Daudi Mikali binti yake awe mke wake.+
14 Kisha Daudi akawatuma wajumbe kwa Ish-boshethi,+ mwana wa Sauli, akisema: “Nipe mke wangu Mikali, niliyemchumbia kwa magovi 100 ya Wafilisti.”+