1 Samweli 31:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wafilisti wakamkaribia sana Sauli na wanawe, nao wakamuua Yonathani,+ Abinadabu, na Malki-shua, wana wa Sauli.+ 1 Mambo ya Nyakati 8:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Neri+ alimzaa Kishi; Kishi akamzaa Sauli;+ Sauli akamzaa Yonathani,+ Malki-shua,+ Abinadabu,+ na Eshbaali.*+ 1 Mambo ya Nyakati 9:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Neri+ akamzaa Kishi; Kishi akamzaa Sauli;+ Sauli akamzaa Yonathani,+ Malki-shua,+ Abinadabu,+ na Eshbaali.
2 Wafilisti wakamkaribia sana Sauli na wanawe, nao wakamuua Yonathani,+ Abinadabu, na Malki-shua, wana wa Sauli.+
33 Neri+ alimzaa Kishi; Kishi akamzaa Sauli;+ Sauli akamzaa Yonathani,+ Malki-shua,+ Abinadabu,+ na Eshbaali.*+
39 Neri+ akamzaa Kishi; Kishi akamzaa Sauli;+ Sauli akamzaa Yonathani,+ Malki-shua,+ Abinadabu,+ na Eshbaali.