Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 9:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kulikuwa na mtu wa Benjamini aliyeitwa Kishi,+ mwana wa Abieli, mwana wa Zerori mwana wa Bekorathi mwana wa Afia, Mbenjamini+ aliyekuwa tajiri sana. 2 Alikuwa na mwana aliyeitwa Sauli,+ kijana mwenye sura nzuri, hakuna mwanamume yeyote kati ya Waisraeli aliyekuwa na sura nzuri kuliko yeye, na aliposimama watu wote walimfikia mabegani.

  • 1 Samweli 11:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Basi watu wote wakaenda Gilgali, na huko Gilgali wakamweka Sauli kuwa mfalme mbele za Yehova. Kisha wakatoa huko dhabihu za ushirika mbele za Yehova,+ na Sauli na watu wote wa Israeli wakasherehekea kwa shangwe kubwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki