-
1 Samweli 9:1, 2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Kulikuwa na mtu wa Benjamini aliyeitwa Kishi,+ mwana wa Abieli, mwana wa Zerori mwana wa Bekorathi mwana wa Afia, Mbenjamini+ aliyekuwa tajiri sana. 2 Alikuwa na mwana aliyeitwa Sauli,+ kijana mwenye sura nzuri, hakuna mwanamume yeyote kati ya Waisraeli aliyekuwa na sura nzuri kuliko yeye, na aliposimama watu wote walimfikia mabegani.
-