-
1 Wafalme 1:39, 40Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
39 Kisha Kuhani Sadoki akachukua pembe ya mafuta+ kutoka hemani+ na kumtia mafuta Sulemani,+ nao wakaanza kupiga pembe, na watu wote wakaanza kusema hivi kwa sauti kubwa: “Mfalme Sulemani na aishi muda mrefu!” 40 Kisha watu wote wakapanda wakimfuata, wakipiga filimbi na kushangilia sana, hivi kwamba dunia ikapasuka na kufunguka kwa sababu ya kelele zao.+
-
-
1 Mambo ya Nyakati 12:39, 40Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
39 Nao walikaa huko pamoja na Daudi kwa siku tatu, wakila na kunywa, kwa kuwa ndugu zao walikuwa wamefanya matayarisho kwa ajili yao. 40 Pia majirani wao, na hata wale waliokuwa mbali kufikia Isakari, Zabuloni, na Naftali, walikuwa wakileta vyakula kwa punda, ngamia, nyumbu, na ng’ombe—walileta unga, keki za tini zilizoshinikizwa na keki za zabibu kavu, divai, mafuta, na ng’ombe na kondoo wengi sana, kwa maana watu walishangilia nchini Israeli.
-