1 Samweli 14:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Kishi+ alikuwa baba ya Sauli, na Neri+ baba ya Abneri alikuwa mwana wa Abieli. 1 Mambo ya Nyakati 8:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Neri+ alimzaa Kishi; Kishi akamzaa Sauli;+ Sauli akamzaa Yonathani,+ Malki-shua,+ Abinadabu,+ na Eshbaali.*+ Matendo 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini baadaye wakaomba wapewe mfalme,+ na Mungu akawapa Sauli mwana wa Kishi, mwanamume wa kabila la Benjamini,+ kwa miaka 40.
33 Neri+ alimzaa Kishi; Kishi akamzaa Sauli;+ Sauli akamzaa Yonathani,+ Malki-shua,+ Abinadabu,+ na Eshbaali.*+
21 Lakini baadaye wakaomba wapewe mfalme,+ na Mungu akawapa Sauli mwana wa Kishi, mwanamume wa kabila la Benjamini,+ kwa miaka 40.