11 Baadaye Sauli akawatuma wajumbe nyumbani kwa Daudi ili wailinde na kumuua asubuhi,+ lakini Mikali mke wa Daudi akamwambia Daudi: “Usipotoroka usiku wa leo, kesho utakuwa mfu.”
13 Daudi akamwambia: “Vema! Nitafanya agano pamoja nawe. Lakini nakuomba ufanye jambo moja tu, usithubutu kuja mbele yangu mpaka umlete kwanza Mikali,+ binti ya Sauli, utakapokuja kuniona.”
16 Lakini Sanduku la Yehova lilipoingia katika Jiji la Daudi, Mikali,+ binti ya Sauli, akaangalia chini kupitia dirishani, akamwona Mfalme Daudi akirukaruka na kucheza dansi huku na huku mbele za Yehova; naye akaanza kumdharau moyoni mwake.+