Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 14:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Wana wa Sauli walikuwa Yonathani, Ishvi, na Malki-shua.+ Na alikuwa na mabinti wawili; mkubwa aliitwa Merabu,+ na mdogo aliitwa Mikali.+⁠

  • 1 Samweli 19:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Baadaye Sauli akawatuma wajumbe nyumbani kwa Daudi ili wailinde na kumuua asubuhi,+ lakini Mikali mke wa Daudi akamwambia Daudi: “Usipotoroka usiku wa leo, kesho utakuwa mfu.”

  • 1 Samweli 25:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Lakini Sauli alikuwa amemchukua Mikali binti yake,+ mke wa Daudi na kumpa Palti+ mwana wa Laishi, kutoka Galimu.

  • 2 Samweli 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Daudi akamwambia: “Vema! Nitafanya agano pamoja nawe. Lakini nakuomba ufanye jambo moja tu, usithubutu kuja mbele yangu mpaka umlete kwanza Mikali,+ binti ya Sauli, utakapokuja kuniona.”

  • 2 Samweli 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Lakini Sanduku la Yehova lilipoingia katika Jiji la Daudi, Mikali,+ binti ya Sauli, akaangalia chini kupitia dirishani, akamwona Mfalme Daudi akirukaruka na kucheza dansi huku na huku mbele za Yehova; naye akaanza kumdharau moyoni mwake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki