Mwanzo 40:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Baada ya siku tatu tokea sasa Farao atakiinua kichwa chako na kukiondoa juu yako naye atakutundika juu ya mti;+ nao ndege wataila nyama yako.”+ Hesabu 25:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi Yehova akamwambia Musa: “Chukua wote walio vichwa vya watu nawe uwaanike mbele za Yehova kuelekea jua, ili hasira inayowaka ya Yehova+ igeukie mbali na Israeli.” Kumbukumbu la Torati 21:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Na ikiwa mtu atakuwa na dhambi inayostahili hukumu ya kifo, naye ameuawa,+ nawe umemtundika juu ya mti,+
19 Baada ya siku tatu tokea sasa Farao atakiinua kichwa chako na kukiondoa juu yako naye atakutundika juu ya mti;+ nao ndege wataila nyama yako.”+
4 Basi Yehova akamwambia Musa: “Chukua wote walio vichwa vya watu nawe uwaanike mbele za Yehova kuelekea jua, ili hasira inayowaka ya Yehova+ igeukie mbali na Israeli.”
22 “Na ikiwa mtu atakuwa na dhambi inayostahili hukumu ya kifo, naye ameuawa,+ nawe umemtundika juu ya mti,+