Mwanzo 41:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ikawa kwamba kama vile alivyotutafsiria, ndivyo ilivyotukia. Mimi akanirudisha katika cheo changu,+ lakini yeye akamtundika.”+ Kumbukumbu la Torati 21:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Na ikiwa mtu atakuwa na dhambi inayostahili hukumu ya kifo, naye ameuawa,+ nawe umemtundika juu ya mti,+ Yoshua 8:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Naye akamtundika mfalme wa Ai+ juu ya mti mpaka jioni;+ na jua lilipokaribia kutua, Yoshua akatoa amri nao wakachukua maiti yake+ kutoka mtini na kuitupa kwenye mwingilio wa lango la jiji nao wakaweka rundo kubwa la mawe juu yake, mpaka leo hii. Yoshua 10:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kisha Yoshua akawapiga na kuwaua, akawatundika juu ya miti mitano, nao wakaendelea kuning’inia juu ya miti hiyo mpaka jioni.+
13 Ikawa kwamba kama vile alivyotutafsiria, ndivyo ilivyotukia. Mimi akanirudisha katika cheo changu,+ lakini yeye akamtundika.”+
22 “Na ikiwa mtu atakuwa na dhambi inayostahili hukumu ya kifo, naye ameuawa,+ nawe umemtundika juu ya mti,+
29 Naye akamtundika mfalme wa Ai+ juu ya mti mpaka jioni;+ na jua lilipokaribia kutua, Yoshua akatoa amri nao wakachukua maiti yake+ kutoka mtini na kuitupa kwenye mwingilio wa lango la jiji nao wakaweka rundo kubwa la mawe juu yake, mpaka leo hii.
26 Kisha Yoshua akawapiga na kuwaua, akawatundika juu ya miti mitano, nao wakaendelea kuning’inia juu ya miti hiyo mpaka jioni.+