Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 41:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ikawa kwamba kama vile alivyotutafsiria, ndivyo ilivyotukia. Mimi akanirudisha katika cheo changu,+ lakini yeye akamtundika.”+

  • Kumbukumbu la Torati 21:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Na ikiwa mtu atakuwa na dhambi inayostahili hukumu ya kifo, naye ameuawa,+ nawe umemtundika juu ya mti,+

  • Yoshua 8:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Naye akamtundika mfalme wa Ai+ juu ya mti mpaka jioni;+ na jua lilipokaribia kutua, Yoshua akatoa amri nao wakachukua maiti yake+ kutoka mtini na kuitupa kwenye mwingilio wa lango la jiji nao wakaweka rundo kubwa la mawe juu yake, mpaka leo hii.

  • Yoshua 10:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kisha Yoshua akawapiga na kuwaua, akawatundika juu ya miti mitano, nao wakaendelea kuning’inia juu ya miti hiyo mpaka jioni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki