Yoshua 18:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 na Zela,+ Ha-elefu na Yebusi, yaani, Yerusalemu,+ Gibea+ na Kiriathi; majiji kumi na manne na makao yake. Huo ndio uliokuwa urithi wa wana wa Benyamini kulingana na familia zao.+ 1 Samweli 10:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Bali Sauli akaenda nyumbani kwake kule Gibea,+ na wanaume mashujaa ambao Mungu alikuwa amegusa mioyo yao wakaenda pamoja naye.+ 1 Samweli 15:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Basi Samweli akaenda zake huko Rama, naye Sauli akapanda kwenda nyumbani kwake katika Gibea+ la Sauli.
28 na Zela,+ Ha-elefu na Yebusi, yaani, Yerusalemu,+ Gibea+ na Kiriathi; majiji kumi na manne na makao yake. Huo ndio uliokuwa urithi wa wana wa Benyamini kulingana na familia zao.+
26 Bali Sauli akaenda nyumbani kwake kule Gibea,+ na wanaume mashujaa ambao Mungu alikuwa amegusa mioyo yao wakaenda pamoja naye.+
34 Basi Samweli akaenda zake huko Rama, naye Sauli akapanda kwenda nyumbani kwake katika Gibea+ la Sauli.