Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Wasikae katika nchi yako, wasije wakakufanya unitendee dhambi. Ikiwa utaitumikia miungu yao, itakuwa mtego kwako.”+

  • Hesabu 33:55
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 “‘Hata hivyo, ikiwa hamtawafukuzia mbali wakaaji wa nchi hiyo kutoka mbele yenu,+ basi wale mtakaoacha watakuwa kama michomo katika macho yenu na kama miiba ubavuni mwenu, nao watawasumbua katika nchi ambamo mtakuwa mkikaa.+

  • Kumbukumbu la Torati 20:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 ili wasiwafundishe kulingana na machukizo yao yote, ambayo wameifanyia miungu yao, nanyi mumtendee dhambi Yehova Mungu wenu.+

  • Waamuzi 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na wana wa Benyamini hawakuwafukuza Wayebusi waliokaa Yerusalemu;+ bali Wayebusi wanaendelea kukaa pamoja na wana wa Benyamini katika Yerusalemu mpaka leo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki