Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 usije ukafanya agano na wakaaji wa nchi hiyo, kwa maana hakika watafanya uasherati na miungu+ yao na kutolea miungu yao dhabihu,+ na mtu fulani hakika atakualika, nawe hakika utakula sehemu ya dhabihu yake.+

  • Kumbukumbu la Torati 7:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana atamgeuza mwana wako aache kunifuata, nao watatumikia miungu mingine;+ na hasira ya Yehova itawaka kwelikweli juu yenu, naye hakika atakuangamiza haraka.+

  • Yoshua 23:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Lakini mkirudi nyuma kwa vyovyote+ na kushikamana na mabaki ya mataifa haya,+ yaani, haya yanayobaki na ninyi, na kufanya nao mapatano ya ndoa+ na kuingia katikati yao, nao wakiingia katikati yenu,

  • Zaburi 106:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Nao wakachangamana na hayo mataifa+

      Na kuanza kujifunza matendo yao.+

  • Isaya 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana umewaacha watu wako, nyumba ya Yakobo.+ Kwa maana wamejaa vitu vya kutoka Mashariki,+ nao ni wenye kufanya uchawi+ kama Wafilisti, nao wamejawa na wana wa wageni.+

  • 1 Wakorintho 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Sababu ya kujisifu+ kwenu si nzuri. Je, hamjui kwamba chachu kidogo huchachisha+ donge lote?+

  • 1 Wakorintho 15:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Msipotoshwe. Mashirika mabaya huharibu tabia nzuri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki