15 usije ukafanya agano na wakaaji wa nchi hiyo, kwa maana hakika watafanya uasherati na miungu+ yao na kutolea miungu yao dhabihu,+ na mtu fulani hakika atakualika, nawe hakika utakula sehemu ya dhabihu yake.+
4 Kwa maana atamgeuza mwana wako aache kunifuata, nao watatumikia miungu mingine;+ na hasira ya Yehova itawaka kwelikweli juu yenu, naye hakika atakuangamiza haraka.+
12 “Lakini mkirudi nyuma kwa vyovyote+ na kushikamana na mabaki ya mataifa haya,+ yaani, haya yanayobaki na ninyi, na kufanya nao mapatano ya ndoa+ na kuingia katikati yao, nao wakiingia katikati yenu,
6 Kwa maana umewaacha watu wako, nyumba ya Yakobo.+ Kwa maana wamejaa vitu vya kutoka Mashariki,+ nao ni wenye kufanya uchawi+ kama Wafilisti, nao wamejawa na wana wa wageni.+