Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 31:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ndipo hasira yangu itakapowaka kwelikweli juu yao katika siku hiyo,+ nami hakika nitawaacha+ na kuuficha uso wangu mbali nao,+ nao watakuwa kitu cha kuteketezwa; na misiba mingi na taabu zitakuja juu yao,+ nao watalazimika kusema siku hiyo, ‘Je, misiba hii haikuja juu yetu kwa sababu Mungu wetu hayuko katikati yetu?’+

  • 2 Mambo ya Nyakati 24:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na roho+ ya Mungu ikamfunika+ Zekaria+ mwana wa Yehoyada+ kuhani, hivi kwamba akasimama juu ya watu na kuwaambia: “Mungu wa kweli amesema hivi, ‘Kwa nini mnazivunja amri za Yehova, hivi kwamba hamwezi kufanikiwa?+ Kwa sababu mmemwacha Yehova, yeye naye atawaacha ninyi.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki