Kumbukumbu la Torati 29:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yehova hatataka kumsamehe,+ lakini hasira ya Yehova+ na ukali+ wake utatoa moshi juu ya mtu huyo,+ na kiapo chote ambacho kimeandikwa katika kitabu hiki+ hakika kitamkalia, na Yehova kwa kweli atafutilia mbali jina lake kutoka chini ya mbingu. Zaburi 74:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 74 Kwa nini, Ee Mungu, umetutupilia mbali milele?+Kwa nini hasira yako inatoa moshi daima juu ya kundi la malisho yako?+
20 Yehova hatataka kumsamehe,+ lakini hasira ya Yehova+ na ukali+ wake utatoa moshi juu ya mtu huyo,+ na kiapo chote ambacho kimeandikwa katika kitabu hiki+ hakika kitamkalia, na Yehova kwa kweli atafutilia mbali jina lake kutoka chini ya mbingu.
74 Kwa nini, Ee Mungu, umetutupilia mbali milele?+Kwa nini hasira yako inatoa moshi daima juu ya kundi la malisho yako?+