Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 29:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Yehova hatataka kumsamehe,+ lakini hasira ya Yehova+ na ukali+ wake utatoa moshi juu ya mtu huyo,+ na kiapo chote ambacho kimeandikwa katika kitabu hiki+ hakika kitamkalia, na Yehova kwa kweli atafutilia mbali jina lake kutoka chini ya mbingu.

  • Zaburi 95:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa maana yeye ni Mungu wetu, na sisi ni watu wa malisho yake na kondoo wa mkono wake.+

      Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake,+

  • Zaburi 100:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Jueni kwamba Yehova ni Mungu.+

      Yeye ndiye aliyetufanya, wala si sisi wenyewe.+

      Sisi ni watu wake na kondoo wa malisho yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki