Zaburi 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ee Yehova, kwa nini unaendelea kusimama mbali?+Kwa nini unaendelea kujificha nyakati za taabu?+ Zaburi 44:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Uamke. Kwa nini unaendelea kulala usingizi, Ee Yehova?+Uamke. Usiendelee kututupilia mbali milele.+ Maombolezo 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa nini unatusahau milele,+ hivi kwamba unatuacha kwa siku nyingi?+
23 Uamke. Kwa nini unaendelea kulala usingizi, Ee Yehova?+Uamke. Usiendelee kututupilia mbali milele.+