Zaburi 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Utanisahau mpaka wakati gani, Ee Yehova?+ Milele?+Utanificha uso wako mpaka wakati gani?+ Yeremia 14:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Je, umeikataa Yuda kabisa,+ au, je, nafsi yako imechukia Sayuni?+ Kwa nini umetupiga, hivi kwamba hakuna maponyo kwa ajili yetu?+ Amani ilitumainiwa, lakini hakuna mema yaliyokuja; na wakati wa kuponywa, na, tazama! hofu!+
19 Je, umeikataa Yuda kabisa,+ au, je, nafsi yako imechukia Sayuni?+ Kwa nini umetupiga, hivi kwamba hakuna maponyo kwa ajili yetu?+ Amani ilitumainiwa, lakini hakuna mema yaliyokuja; na wakati wa kuponywa, na, tazama! hofu!+