Mambo ya Walawi 19:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “‘Msiwaendee wenye kuwasiliana na pepo,+ wala msitafute shauri la wajuzi wa kubashiri matukio,+ ili kutiwa unajisi nao. Mimi ni Yehova Mungu wenu. Kumbukumbu la Torati 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Asipatikane ndani yako yeyote anayempitisha mwana wake au binti yake katikati ya moto,+ yeyote anayefanya uaguzi,+ mwenye kufanya uchawi+ au yeyote anayetafuta ishara za bahati+ au mlozi,+ Zaburi 106:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Nao wakachangamana na hayo mataifa+Na kuanza kujifunza matendo yao.+
31 “‘Msiwaendee wenye kuwasiliana na pepo,+ wala msitafute shauri la wajuzi wa kubashiri matukio,+ ili kutiwa unajisi nao. Mimi ni Yehova Mungu wenu.
10 Asipatikane ndani yako yeyote anayempitisha mwana wake au binti yake katikati ya moto,+ yeyote anayefanya uaguzi,+ mwenye kufanya uchawi+ au yeyote anayetafuta ishara za bahati+ au mlozi,+