Mambo ya Walawi 19:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “‘Msiende kwa watu wanaowasiliana na roho,+ wala msitafute ushauri kutoka kwa wabashiri+ msije mkajichafua. Mimi ni Yehova Mungu wenu. Mambo ya Walawi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 19:31 Furahia Maisha Milele!, somo la 24
31 “‘Msiende kwa watu wanaowasiliana na roho,+ wala msitafute ushauri kutoka kwa wabashiri+ msije mkajichafua. Mimi ni Yehova Mungu wenu.