27 “‘Mwanamume au mwanamke yeyote ambaye anawasiliana na roho au ni mbashiri* lazima auawe.+ Watu wanapaswa kuwaua kwa kuwapiga mawe. Watakuwa na hatia kwa sababu ya vifo vyao wenyewe.’”*
16 Ikatukia kwamba tulipokuwa tukienda mahali pale pa kusali, tulikutana na kijakazi fulani mwenye roho, roho mwovu wa uaguzi.+ Aliwapatia mabwana zake faida nyingi kwa kubashiri.*