Mambo ya Walawi 19:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “‘Msiende kwa watu wanaowasiliana na roho,+ wala msitafute ushauri kutoka kwa wabashiri+ msije mkajichafua. Mimi ni Yehova Mungu wenu. Mambo ya Walawi 20:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “‘Kwa hakika nitamkataa na kumwangamiza mtu yeyote anayetafuta ushauri kutoka kwa watu wanaowasiliana na roho+ na pia wabashiri+ ili kufanya ukahaba wa kiroho pamoja nao.+
31 “‘Msiende kwa watu wanaowasiliana na roho,+ wala msitafute ushauri kutoka kwa wabashiri+ msije mkajichafua. Mimi ni Yehova Mungu wenu.
6 “‘Kwa hakika nitamkataa na kumwangamiza mtu yeyote anayetafuta ushauri kutoka kwa watu wanaowasiliana na roho+ na pia wabashiri+ ili kufanya ukahaba wa kiroho pamoja nao.+