6 naye hakula+ juu ya milima+ wala hakuyainua macho yake kuelekea sanamu za mavi za nyumba ya Israeli,+ wala hakumnajisi mke wa mwenzake+ wala hakumkaribia mwanamke aliye katika uchafu wake;+
14 Msifungwe nira isivyo sawa pamoja na wasio waamini.+ Kwa maana kuna ushirika gani kati ya uadilifu na uasi-sheria?+ Au nuru ina ushirika gani na giza?+
20 “ ‘Hata hivyo, nina hili dhidi yako, kwamba unamvumilia yule mwanamke Yezebeli,+ anayejiita mwenyewe nabii, naye anafundisha+ na kuwapotosha watumwa wangu+ wafanye uasherati+ na kula vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu.+