16 Tazama! Hao ndio, kupitia kwa neno la Balaamu, waliowashawishi wana wa Israeli kukosa uaminifu+ kwa Yehova juu ya lile jambo la Peori,+ hivi kwamba tauni ikaja juu ya kusanyiko la Yehova.+
3 “Macho yenu wenyewe ndiyo yaliyoona mambo ambayo Yehova alifanya katika kile kisa cha Baali wa Peori,+ kwamba kila mtu aliyemfuata Baali wa Peori ndiye ambaye Yehova Mungu wako aliangamiza kutoka katikati yako.+
10 “Nilimkuta Israeli kama zabibu nyikani.+ Niliwaona mababu zenu kama tini ya mapema katika mtini ulio katika majira yake ya kwanza.+ Wao wenyewe waliingia kwa Baali wa Peori,+ nao wakajiweka wakfu kwa kitu kile cha aibu, wakawa wenye kuchukiza+ kama kile kitu walichokipenda.+