23 Walipofika kwenye bonde la mto la Eshkoli,+ wakakata chipukizi lenye kishada kimoja cha zabibu.+ Na wawili kati ya wanaume hao wakalichukua kwa ufito, na pia baadhi ya makomamanga+ na baadhi ya tini.
4 Na ua linalonyauka+ la pambo lake la uzuri lililo juu ya kichwa cha bonde lenye rutuba litakuwa kama tini ya mapema+ kabla ya wakati wa kiangazi, ambayo, wakati mwonaji anapoiona, ikiwa bado mkononi mwake, yeye huimeza.
7Ole wangu,+ kwa maana nimekuwa kama mkusanyo wa matunda ya wakati wa kiangazi, kama masalio ya mkusanyo wa zabibu!+ Hakuna kishada cha zabibu za kula, hakuna tini ya mapema, ambayo nafsi yangu inaweza kutamani!+