Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 13:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Walipofika kwenye bonde la mto la Eshkoli,+ wakakata chipukizi lenye kishada kimoja cha zabibu.+ Na wawili kati ya wanaume hao wakalichukua kwa ufito, na pia baadhi ya makomamanga+ na baadhi ya tini.

  • Isaya 28:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na ua linalonyauka+ la pambo lake la uzuri lililo juu ya kichwa cha bonde lenye rutuba litakuwa kama tini ya mapema+ kabla ya wakati wa kiangazi, ambayo, wakati mwonaji anapoiona, ikiwa bado mkononi mwake, yeye huimeza.

  • Mika 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ole wangu,+ kwa maana nimekuwa kama mkusanyo wa matunda ya wakati wa kiangazi, kama masalio ya mkusanyo wa zabibu!+ Hakuna kishada cha zabibu za kula, hakuna tini ya mapema, ambayo nafsi yangu inaweza kutamani!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki