18 kwa sababu wanawasumbua ninyi kwa matendo yao ya ujanja+ ambayo wamewatendea ninyi kwa ujanja katika lile jambo la Peori+ na katika lile jambo la Kozbi+ binti ya mkuu wa Midiani, dada yao ambaye alipigwa na kuuawa+ katika ile siku ya tauni kuhusu lile jambo la Peori.”+
3 “Macho yenu wenyewe ndiyo yaliyoona mambo ambayo Yehova alifanya katika kile kisa cha Baali wa Peori,+ kwamba kila mtu aliyemfuata Baali wa Peori ndiye ambaye Yehova Mungu wako aliangamiza kutoka katikati yako.+