Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 25:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 kwa sababu wanawasumbua ninyi kwa matendo yao ya ujanja+ ambayo wamewatendea ninyi kwa ujanja katika lile jambo la Peori+ na katika lile jambo la Kozbi+ binti ya mkuu wa Midiani, dada yao ambaye alipigwa na kuuawa+ katika ile siku ya tauni kuhusu lile jambo la Peori.”+

  • Kumbukumbu la Torati 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Macho yenu wenyewe ndiyo yaliyoona mambo ambayo Yehova alifanya katika kile kisa cha Baali wa Peori,+ kwamba kila mtu aliyemfuata Baali wa Peori ndiye ambaye Yehova Mungu wako aliangamiza kutoka katikati yako.+

  • Yoshua 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Je, lile kosa la Peori+ lilikuwa dogo mno kwetu, ambalo hatujajitakasa katika hilo mpaka leo hii, ingawa pigo lilikuja juu ya kusanyiko la Yehova?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki