16 Tazama! Hao ndio, kupitia kwa neno la Balaamu, waliowashawishi wana wa Israeli kukosa uaminifu+ kwa Yehova juu ya lile jambo la Peori,+ hivi kwamba tauni ikaja juu ya kusanyiko la Yehova.+
14 Wana macho yenye kujaa uzinzi+ na yasiyoweza kuachana na dhambi,+ nao huzishawishi nafsi zisizo imara. Wana moyo uliozoezwa kutamani.+ Wao ni watoto waliolaaniwa.+
14 “ ‘Hata hivyo, nina mambo machache dhidi yako, kwamba unao hapo wale wanaolishika sana fundisho la Balaamu,+ aliyemfundisha Balaki+ kuweka kikwazo mbele ya wana wa Israeli, ili wale vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu na kufanya uasherati.+