Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 66:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Yeye anayemchinja ng’ombe ni kama yeye anayemuua mwanadamu.+ Yeye anayemchinja kondoo ni kama yeye anayevunja shingo ya mbwa.+ Yeye anayetoa zawadi ni kama yeye anayetoa damu ya nguruwe!+ Yeye anayetoa ukumbusho wa ubani+ ni kama yeye anayebariki akitumia maneno ya uchawi.+ Wao pia ndio wamechagua njia zao wenyewe, na nafsi yao imependezwa na machukizo yao.+

  • Ezekieli 7:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na pambo la mtu—mtu ameliweka kuwa sababu ya kiburi; na sanamu zao zenye kuchukiza,+ machukizo+ yao, wamezifanya kwa hilo. Ndiyo sababu nitalifanya hilo kuwa chukizo kwao.+

  • Amosi 4:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Fukizeni dhabihu ya shukrani kutoka kwa kile kilichotiwa chachu,+ na mtangaze matoleo ya hiari;+ litangazeni, kwa maana hivyo ndivyo mmependa, enyi wana wa Israeli,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki