Hesabu 25:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hiyo Israeli akajishikamanisha na Baali wa Peori;+ nayo hasira ya Yehova ikaanza kuwaka juu ya Israeli.+ Kumbukumbu la Torati 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Macho yenu wenyewe ndiyo yaliyoona mambo ambayo Yehova alifanya katika kile kisa cha Baali wa Peori,+ kwamba kila mtu aliyemfuata Baali wa Peori ndiye ambaye Yehova Mungu wako aliangamiza kutoka katikati yako.+ Zaburi 106:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Nao wakaanza kujishikamanisha na Baali wa Peori+Na kula dhabihu za wafu.+
3 Kwa hiyo Israeli akajishikamanisha na Baali wa Peori;+ nayo hasira ya Yehova ikaanza kuwaka juu ya Israeli.+
3 “Macho yenu wenyewe ndiyo yaliyoona mambo ambayo Yehova alifanya katika kile kisa cha Baali wa Peori,+ kwamba kila mtu aliyemfuata Baali wa Peori ndiye ambaye Yehova Mungu wako aliangamiza kutoka katikati yako.+