Ezekieli 18:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 naye hali dhabihu zinazotolewa kwa sanamu kwenye milima;+ hazitumaini sanamu zinazochukiza* za watu wa nyumba ya Israeli; hamnajisi mke wa jirani yake+ au kulala na mwanamke aliye katika hedhi;+
6 naye hali dhabihu zinazotolewa kwa sanamu kwenye milima;+ hazitumaini sanamu zinazochukiza* za watu wa nyumba ya Israeli; hamnajisi mke wa jirani yake+ au kulala na mwanamke aliye katika hedhi;+