Yoshua 18:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 na Zela,+ Ha-elefu na Yebusi, yaani, Yerusalemu,+ Gibea+ na Kiriathi; majiji kumi na manne na makao yake. Huo ndio uliokuwa urithi wa wana wa Benyamini kulingana na familia zao.+ 1 Samweli 10:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Bali Sauli akaenda nyumbani kwake kule Gibea,+ na wanaume mashujaa ambao Mungu alikuwa amegusa mioyo yao wakaenda pamoja naye.+ Isaya 10:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Wamevuka kivuko, Geba+ ni mahali pao pa kukaa usiku, Rama+ limetetemeka, Gibea+ la Sauli limekimbia. Hosea 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Pigeni baragumu+ katika Gibea,+ tarumbeta katika Rama! Pigeni kelele za vita katika Beth-aveni+—nyuma yako, Ee Benyamini!+
28 na Zela,+ Ha-elefu na Yebusi, yaani, Yerusalemu,+ Gibea+ na Kiriathi; majiji kumi na manne na makao yake. Huo ndio uliokuwa urithi wa wana wa Benyamini kulingana na familia zao.+
26 Bali Sauli akaenda nyumbani kwake kule Gibea,+ na wanaume mashujaa ambao Mungu alikuwa amegusa mioyo yao wakaenda pamoja naye.+
29 Wamevuka kivuko, Geba+ ni mahali pao pa kukaa usiku, Rama+ limetetemeka, Gibea+ la Sauli limekimbia.
8 “Pigeni baragumu+ katika Gibea,+ tarumbeta katika Rama! Pigeni kelele za vita katika Beth-aveni+—nyuma yako, Ee Benyamini!+