Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 18:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 na Zela,+ Ha-elefu na Yebusi, yaani, Yerusalemu,+ Gibea+ na Kiriathi; majiji kumi na manne na makao yake.

      Huo ndio uliokuwa urithi wa wana wa Benyamini kulingana na familia zao.+

  • 1 Samweli 10:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Bali Sauli akaenda nyumbani kwake kule Gibea,+ na wanaume mashujaa ambao Mungu alikuwa amegusa mioyo yao wakaenda pamoja naye.+

  • Isaya 10:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Wamevuka kivuko, Geba+ ni mahali pao pa kukaa usiku, Rama+ limetetemeka, Gibea+ la Sauli limekimbia.

  • Hosea 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Pigeni baragumu+ katika Gibea,+ tarumbeta katika Rama! Pigeni kelele za vita katika Beth-aveni+—nyuma yako, Ee Benyamini!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki