Yoshua 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 na Kefar-amoni na Ofni na Geba;+ majiji kumi na mawili na makao yake. Yoshua 21:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na kutoka katika kabila la Benyamini, Gibeoni+ na kiwanja chake cha malisho, Geba+ na kiwanja chake cha malisho, 2 Mambo ya Nyakati 16:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye Asa mfalme akawachukua Yuda wote,+ nao wakachukua mawe ya Rama+ na miti yake ambayo Baasha alitumia kujenga,+ naye kwa vitu hivyo akaanza kujenga Geba+ na Mispa.+
17 Na kutoka katika kabila la Benyamini, Gibeoni+ na kiwanja chake cha malisho, Geba+ na kiwanja chake cha malisho,
6 Naye Asa mfalme akawachukua Yuda wote,+ nao wakachukua mawe ya Rama+ na miti yake ambayo Baasha alitumia kujenga,+ naye kwa vitu hivyo akaanza kujenga Geba+ na Mispa.+