Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 20:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na sasa watoeni wale wanaume,+ wale watu wasiofaa kitu,+ ambao wamo katika Gibea,+ ili tuwaue,+ nasi tuondolee mbali lililo baya katika Israeli.”+ Na wana wa Benyamini hawakutaka kuisikiliza sauti ya ndugu zao, wana wa Israeli.+

  • Hosea 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Wamejiingiza sana katika kuleta uharibifu,+ kama katika siku za Gibea.+ Atakumbuka kosa lao;+ atakazia fikira dhambi zao.

  • Hosea 10:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Umetenda dhambi+ kuanzia siku za Gibea,+ Ee Israeli. Huko walisimama tuli. Vita juu ya wana wenye kukosa uadilifu katika Gibea havikupata kuwafikia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki