Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 13:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na nabii+ huyo au mwotaji huyo wa ndoto atauawa,+ kwa sababu amesema maasi juu ya Yehova Mungu wenu, ambaye aliwatoa ninyi katika nchi ya Misri na amekukomboa kutoka katika nyumba ya watumwa, ili kukugeuza kutoka katika njia ambayo Yehova Mungu wako amekuamuru kuitembea;+ nawe utaondolea mbali kilicho kiovu kutoka katikati yako.+

  • Kumbukumbu la Torati 17:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mkono wa mashahidi kwanza kabisa unapaswa kuja juu yake ili kumuua, na mkono wa watu wote baadaye;+ nawe utakiondolea mbali kilicho kibaya kutoka katikati yako.+

  • Kumbukumbu la Torati 22:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Ikiwa mwanamume atapatikana akilala na mwanamke aliye na mume,+ wote wawili watauawa pamoja, yule mwanamume anayelala na mwanamke pamoja na huyo mwanamke.+ Kwa hiyo lazima utaondolea mbali lililo baya kutoka katika Israeli.+

  • 1 Wakorintho 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Sababu ya kujisifu+ kwenu si nzuri. Je, hamjui kwamba chachu kidogo huchachisha+ donge lote?+

  • 1 Wakorintho 5:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 huku Mungu akiwahukumu wale walio nje?+ “Ondoeni yule mtu mwovu kati yenu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki