Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Usifanye uzinzi.+

  • Mambo ya Walawi 20:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “‘Sasa mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwanamume mwingine ni mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwenzake.+ Lazima auawe, mwanamume huyo mzinzi na vilevile mwanamke huyo mzinzi.+

  • Malaki 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Nami nitawakaribia ninyi ili kuhukumu,+ nami nitakuwa shahidi wa haraka+ juu ya walozi,+ na juu ya wazinzi,+ na juu ya wale wanaoapa kwa uwongo,+ na juu ya wale wanaoupunja mshahara wa mfanyakazi,+ na mjane+ na mvulana asiye na baba,+ na wale wanaomfukuza mkaaji mgeni,+ wala hawakuniogopa mimi,”+ Yehova wa majeshi amesema.

  • 1 Wakorintho 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwani! Je, hamjui kwamba watu wasio waadilifu hawataurithi ufalme wa Mungu?+ Msipotoshwe. Wala waasherati,+ wala waabudu-sanamu,+ wala wazinzi,+ wala wanaume wanaowekwa kwa ajili ya makusudi yasiyo ya asili,+ wala wanaume wanaolala na wanaume,+

  • 1 Wakorintho 6:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ukimbieni uasherati.+ Kila dhambi nyingine ambayo mtu huenda akafanya iko nje ya mwili wake, lakini yeye aliye na mazoea ya kufanya uasherati anautendea dhambi mwili+ wake mwenyewe.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki