22 Walipokuwa wakichangamsha mioyo yao,+ tazama! wanaume wa jiji lile, watu wasiofaa kitu,+ wakaizunguka nyumba,+ wakisukumana mlangoni; nao wakazidi kumwambia yule mzee, mwenye nyumba: “Mtoe nje yule mwanamume aliyeingia nyumbani mwako, ili tulale naye.”+