Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 13:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 ‘Watu wasiofaa kitu wametokea katikati yako+ ili wajaribu kuwageuzia mbali wakaaji wa jiji lao,+ kwa kusema: “Twende tukaitumikie miungu mingine,” ambayo hamjaijua,’

  • Waamuzi 20:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na sasa watoeni wale wanaume,+ wale watu wasiofaa kitu,+ ambao wamo katika Gibea,+ ili tuwaue,+ nasi tuondolee mbali lililo baya katika Israeli.”+ Na wana wa Benyamini hawakutaka kuisikiliza sauti ya ndugu zao, wana wa Israeli.+

  • Methali 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mtu asiyefaa kitu,+ mtu wa mambo yenye kuumiza, anatembea akiwa na maneno mapotovu,+

  • Methali 16:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Mtu asiyefaa kitu anachimbua lililo baya,+ na katika midomo yake ni kana kwamba kuna moto unaounguza.+

  • Nahumu 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Tazama! Milimani, miguu ya mtu anayeleta habari njema, anayetangaza amani.+ Ee Yuda, fanya sherehe zako.+ Timiza nadhiri zako;+ kwa sababu mtu yeyote asiyefaa kitu hatapita tena kamwe katikati yako.+ Hatakosa kukatiliwa mbali kabisa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki