13 ‘Watu wasiofaa kitu wametokea katikati yako+ ili wajaribu kuwageuzia mbali wakaaji wa jiji lao,+ kwa kusema: “Twende tukaitumikie miungu mingine,” ambayo hamjaijua,’
13 Na sasa watoeni wale wanaume,+ wale watu wasiofaa kitu,+ ambao wamo katika Gibea,+ ili tuwaue,+ nasi tuondolee mbali lililo baya katika Israeli.”+ Na wana wa Benyamini hawakutaka kuisikiliza sauti ya ndugu zao, wana wa Israeli.+
15 “Tazama! Milimani, miguu ya mtu anayeleta habari njema, anayetangaza amani.+ Ee Yuda, fanya sherehe zako.+ Timiza nadhiri zako;+ kwa sababu mtu yeyote asiyefaa kitu hatapita tena kamwe katikati yako.+ Hatakosa kukatiliwa mbali kabisa.”+