Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Mwanadamu akifanya dhambi juu ya mwanadamu,+ Mungu atakuwa mwamuzi wake;+ lakini mwanadamu akifanya dhambi juu ya Yehova,+ ni nani atakayetoa sala kwa ajili yake?”+ Lakini hawakuisikiliza sauti ya baba+ yao, kwa sababu sasa Yehova alitaka kuwaua.+

  • Methali 29:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Mtu anayekaripiwa+ tena na tena lakini anayeifanya shingo yake kuwa ngumu+ atavunjika ghafula, na hivyo pasipo kuponywa.+

  • Hosea 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Wamejiingiza sana katika kuleta uharibifu,+ kama katika siku za Gibea.+ Atakumbuka kosa lao;+ atakazia fikira dhambi zao.

  • Hosea 10:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Umetenda dhambi+ kuanzia siku za Gibea,+ Ee Israeli. Huko walisimama tuli. Vita juu ya wana wenye kukosa uadilifu katika Gibea havikupata kuwafikia.+

  • Waroma 9:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hivyo basi, yeye humwonyesha rehema yule ambaye yeye anataka,+ lakini yeye ambaye anataka kumwacha humwacha awe mkaidi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki