20 Kwa kuwa hiyo ndiyo iliyokuwa njia ya Yehova ya kutenda, kuacha mioyo yao iwe migumu+ ili watangaze vita juu ya Israeli, kusudi awaangamize, ili wasipate kibali,+ bali ili yeye apate kuwaangamiza, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.+
13 lakini endeleeni kuhimizana+ kila siku, maadamu inaweza kuitwa “Leo,”+ ili yeyote kati yenu asije akafanywa kuwa mgumu kwa nguvu za udanganyifu+ za dhambi.