Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 11:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa kuwa hiyo ndiyo iliyokuwa njia ya Yehova ya kutenda, kuacha mioyo yao iwe migumu+ ili watangaze vita juu ya Israeli, kusudi awaangamize, ili wasipate kibali,+ bali ili yeye apate kuwaangamiza, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.+

  • Ayubu 34:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana yeye atamlipa+ mtu wa udongo kulingana na matendo yake,

      Na kulingana na pito la mwanadamu yeye ataifanya ije juu yake.

  • Methali 15:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nidhamu ni mbaya kwa mtu anayeiacha njia;+ mtu yeyote anayechukia karipio atakufa.+

  • Waroma 9:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hivyo basi, yeye humwonyesha rehema yule ambaye yeye anataka,+ lakini yeye ambaye anataka kumwacha humwacha awe mkaidi.+

  • Waebrania 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 lakini endeleeni kuhimizana+ kila siku, maadamu inaweza kuitwa “Leo,”+ ili yeyote kati yenu asije akafanywa kuwa mgumu kwa nguvu za udanganyifu+ za dhambi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki