Mambo ya Walawi 26:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “‘Lakini ikiwa mtaendelea kutembea kwa kunipinga nanyi msitake kunisikiliza mimi, ndipo nitakapoleta juu yenu mapigo mara saba zaidi kulingana na dhambi zenu.+ Methali 1:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa maana uasi+ wa wasio na uzoefu utawaua wao,+ na kutojali kwa wajinga kutawaangamiza wao.+ Methali 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nawe utalazimika kusema: “Nimechukia nidhamu+ kama nini nao moyo wangu umedharau karipio+ kama nini! Methali 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Anayeshika nidhamu ni njia ya uzima,+ lakini anayeacha karipio anasababisha kupotea.+
21 “‘Lakini ikiwa mtaendelea kutembea kwa kunipinga nanyi msitake kunisikiliza mimi, ndipo nitakapoleta juu yenu mapigo mara saba zaidi kulingana na dhambi zenu.+
12 Nawe utalazimika kusema: “Nimechukia nidhamu+ kama nini nao moyo wangu umedharau karipio+ kama nini!