Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “‘Lakini ikiwa mtaendelea kutembea kwa kunipinga nanyi msitake kunisikiliza mimi, ndipo nitakapoleta juu yenu mapigo mara saba zaidi kulingana na dhambi zenu.+

  • Methali 1:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Kwa maana uasi+ wa wasio na uzoefu utawaua wao,+ na kutojali kwa wajinga kutawaangamiza wao.+

  • Methali 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nawe utalazimika kusema: “Nimechukia nidhamu+ kama nini nao moyo wangu umedharau karipio+ kama nini!

  • Methali 10:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Anayeshika nidhamu ni njia ya uzima,+ lakini anayeacha karipio anasababisha kupotea.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki