Methali 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Anayependa nidhamu anapenda ujuzi,+ lakini anayechukia karipio hatumii akili.+ Waebrania 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hiyo ndiyo sababu ni lazima kwetu kuyakazia uangalifu zaidi kuliko ilivyo kawaida mambo tuliyosikia,+ ili tusipeperushwe kamwe.+ Waebrania 13:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wakumbukeni wale ambao wanaongoza katikati yenu,+ ambao wamelisema neno la Mungu kwenu, nanyi mnapotafakari jinsi mwisho wa mwenendo wao unavyokuwa, igeni+ imani yao.+
2 Hiyo ndiyo sababu ni lazima kwetu kuyakazia uangalifu zaidi kuliko ilivyo kawaida mambo tuliyosikia,+ ili tusipeperushwe kamwe.+
7 Wakumbukeni wale ambao wanaongoza katikati yenu,+ ambao wamelisema neno la Mungu kwenu, nanyi mnapotafakari jinsi mwisho wa mwenendo wao unavyokuwa, igeni+ imani yao.+