Zaburi 32:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Msijifanye kama farasi au nyumbu wasio na uelewaji,+Ambao roho yao yenye nguvu huzuiwa na hatamu au lijamu+Kabla wao hawajakukaribia wewe.”+ Isaya 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ng’ombe anamjua vema mnunuzi wake, na punda anaijua hori ya bwana wake; Israeli mwenyewe hakujua,+ watu wangu mwenyewe hawakujiendesha kwa uelewaji.”+
9 Msijifanye kama farasi au nyumbu wasio na uelewaji,+Ambao roho yao yenye nguvu huzuiwa na hatamu au lijamu+Kabla wao hawajakukaribia wewe.”+
3 Ng’ombe anamjua vema mnunuzi wake, na punda anaijua hori ya bwana wake; Israeli mwenyewe hakujua,+ watu wangu mwenyewe hawakujiendesha kwa uelewaji.”+